![]() |
| Mlinzi kisiki wa Manchester United, Phil Jones |
Ni kweli na wala usije
kushangaa hata wazaliwa wa ng’ambo pia wanaogopa vyombo vya kiteknolojia.
Eti yule beki wa kati
wa Man United, Phil Jones anaogopa sana kupanda lifti “elevator,” anaona ni bora
atumie chombo hicho awapo nyumbani England tu lakini kamwe hathubutu nje ya
nchi yake na siku zote hutumia ngazi.
“Nikienda ng’ambo,
situmii kabisa lifti, lakini nikiwa England huwa sina hofu, na sithubutu niwapo
nje ya nchi”
“Nilipokuwa mdogo
niliwahi kwenda sikukuu nchini Greece na tulikwama kwenye lifti kwa saa kadhaa”
“Ilitisha sana, nilijihisi
kama nimefungiwa sehemu ya kutisha”
![]() |
| Phil Jones katika sura ya kushtukizwa baada ya Sergio Aguero kuweka mpira kambani kwenye mpambano baina ya Man U dhidi ya Man City |


No comments:
Post a Comment